Hizi tumbua tumbua zina double standard sana, Mbona Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa Shinyanga ni fisadi sana
Na kapoteza mamilioni ya fedha lakini bado anadunda?
Mradi kama huo wa Ujenzi wa kituo cha Afya, ujenzi wa Chinji la kisasa, Ujenzi wa Dampo na ujenzi wa Barabara kote ni hivyo tu lakini yupo tu? Kilikoni who is behind this man.
Maana hat juzi 29.07.2019 Baraza la Madiwani liliazimiankutukoa na imani nae kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maendeleo.
Anyways time will tell Wananchi wanaona na wataganya maamuzi.