Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,702
Mzee Bitchuka aliyewahi kuimbia bendi mbalimbali kama Msondo na Sikinde anaishi maeneo ya Sinza Jijini Dar es salaam anasumbuliwa na Maradhi ya Macho, Sukari na Shinikizo la damu.
Timu ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ikiongozwa na Dkt Rioba ilimtembelea Mkongwe huyo ili kumjulia hali pamoja na kujua jinsi gani atasaidiwa kupata matibabu stahiki
Mwanamuziki huyo mkongwe amewika kwa nyimbo nyingi ikiwemo wimbo wa Huruma Kwa Wagonjwa.
Sehemu ya wimbo huo inasema " Ndugu kuweka vikao na kujadili gharama za Matibabu" Sio Kuwatelekeza bila msaada wowote "Wanapaswa kutetea maisha yao wanapokuwa wanaumwa" Nani Kauona mwaka, Tutamaliza mwaka, ni majaliwa yake Mungu eeeh kuona mwaka"
TBC
Timu ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ikiongozwa na Dkt Rioba ilimtembelea Mkongwe huyo ili kumjulia hali pamoja na kujua jinsi gani atasaidiwa kupata matibabu stahiki
Mwanamuziki huyo mkongwe amewika kwa nyimbo nyingi ikiwemo wimbo wa Huruma Kwa Wagonjwa.
Sehemu ya wimbo huo inasema " Ndugu kuweka vikao na kujadili gharama za Matibabu" Sio Kuwatelekeza bila msaada wowote "Wanapaswa kutetea maisha yao wanapokuwa wanaumwa" Nani Kauona mwaka, Tutamaliza mwaka, ni majaliwa yake Mungu eeeh kuona mwaka"
TBC