nashukuru majibu yenu yako ok bt sina dhamana lakini mimi ni mfanyakazi serikalini najua mtaniuliza why nisiende bank sitaki kwenda bank ndo maana nahitaji mtu wa kunikopesha tukubaliane hiyo 120 kila mwezi nna uhakika wa kulipa bla shaka yoyote
nashukuru majibu yenu yako ok bt sina dhamana lakini mimi ni mfanyakazi serikalini najua mtaniuliza why nisiende bank sitaki kwenda bank ndo maana nahitaji mtu wa kunikopesha tukubaliane hiyo 120 kila mwezi nna uhakika wa kulipa bla shaka yoyote
Kama we ni mfanyakazi lazima uwe na barua inayoonyesha kuwa ni mfanyakazi kweli.
Kwa dunia ya sasa huwezi kukosa collateral au dhamana. Jichunguze mkuu
Kama we ni mfanyakazi lazima uwe na barua inayoonyesha kuwa ni mfanyakazi kweli.
Kwa dunia ya sasa huwezi kukosa collateral au dhamana. Jichunguze mkuu