Kwa mtumishi ambae amewahi kukopa kwenye Bank ya stanibac atupe uzoefu.
Nimetuma maombi ya mkopo leo ni wiki ya pili hamna kitu. Kila ukienda majibu hayaridhi.
Je ndo kusema hawana pesa ndio maana wanafanya hivyo au ndio utaratibu wao.
Au huwa inachukua muda gani mpk ukapata pesa uliyoomba. Maana hapa kzn kwangu tuliomba wengi lkn wengine wamekanceli juzi wakaenda Bank nyingi leo wamepata shida ya stanibac ni nini???
Nimetuma maombi ya mkopo leo ni wiki ya pili hamna kitu. Kila ukienda majibu hayaridhi.
Je ndo kusema hawana pesa ndio maana wanafanya hivyo au ndio utaratibu wao.
Au huwa inachukua muda gani mpk ukapata pesa uliyoomba. Maana hapa kzn kwangu tuliomba wengi lkn wengine wamekanceli juzi wakaenda Bank nyingi leo wamepata shida ya stanibac ni nini???