Mkopo wa product za madukani

Mkopo wa product za madukani

Winnerstz

Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
30
Reaction score
23
Natafuta mtu mwaminifu mwenye duka, nitakaye mkopesha product hizi na atalipa atakapouza. Maduka 25 tu. Kama unahitaji wahi sasa.

Product hizi ni
1.a )Mishumaa ya kawaida.
b)Mishumaa ya perfume ( rangi zote zipo).

2. a)Mafuta ya kawaida yenye manukato mazuri.
b)Mafuta ya nywele.

3 .Kiwi(dawa ya viatu, yenye harufu nzuri).

Angalizo. Hizi product ni kwa wakazi wa dar tu.
inbox me
 

Attachments

  • PXL_20240623_124302200.jpg
    PXL_20240623_124302200.jpg
    1.5 MB · Views: 23
Back
Top Bottom