Mkopo wa elimu

Mkopo wa elimu

Kigundu

Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
79
Reaction score
24
Wadau naomba mnijuze. Je, bodi ya mikopo inakopesha anayejiunga chuo kwa sifa ya equivallent? Mfano mwenye diploma ya education kwenda bachelor degree ya ed.
 
Diploma ya education wanaassume tayari uko employed so wengi wamepigwa chini na umemaliza mwaka gani?? hizo ndo criteria zao mkuu
 
Acha uboya wakati ww upo pspf ,nssf,gspf ,lapf,mifuko yote hiyo inatoa mikopo ya elimu kwa waajiriwa sasa kwa nini ubanane na sisi huku bodi ya mkopo wakati una means tayari
 
Back
Top Bottom