Tanzania bara na visiwani kote kuna matawi ya Benki kubwa lakini Sikuambii mpaka useme unataka mkopo kwa shughuli gani....kwasababu nahisi ndiyo nyie mnaojaza foleni barabarani na magari ya mikopo...........lolWakubwa,
naomba kueleweshwa ni Benki Tanzania gani inatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wafanyakazi? Na riba hiyo ni kiasi gani? Asante.
Mkuu nipe tu inshu. Kosa si la wanunua magari, ni la mfumo mzima unaoshindwa kudhibiti foreni na kuongeza matuta kila kukicha.Tanzania bara na visiwani kote kuna matawi ya Benki kubwa lakini Sikuambii mpaka useme unataka mkopo kwa shughuli gani....kwasababu nahisi ndiyo nyie mnaojaza foleni barabarani na magari ya mikopo...........lol
kama upo DSM, DCB ni bank inayotoa mkopo wenye riba pungufu zaidi ya bank zingine, sisemi riba NAFUU kwani kilio cha wengi bado riba za mabenk zipo juu. DCB wanatoza riba ya 17% wakati bank zingine zinaizidi bank hii kwa 1-9%. Mbali na hiyo mashariti yao ya mikopo ni rahisi sana hayana mzunguuko sana kama sio ukiritimba.
Tanzania bara na visiwani kote kuna matawi ya Benki kubwa lakini Sikuambii mpaka useme unataka mkopo kwa shughuli gani....kwasababu nahisi ndiyo nyie mnaojaza foleni barabarani na magari ya mikopo...........lol
Foleni..khaa..huu ugonjwa wa R na L mpaka lini jamaniMkuu nipe tu inshu. Kosa si la wanunua magari, ni la mfumo mzima unaoshindwa kudhibiti foreni na kuongeza matuta kila kukicha.
badala ya kumsaidia mnaanza majungu,badilikeni wana jf!!Mutensa,benki nafuu bila shaka ni nmb,riba yake kama sijakosea ni 16%,kwa visiwani nenda benki ya zanzibar,kama wewe ni mfanyakazi wa serikali wala hamna usumbufu wowote