Kwa mujibu wa maelezo yako hiyo pesa waweza ipata ndani ya siku 60 sasa kwanini uhangaike na mikopo? Riba ya chini siku hizi ni laki 3 kwakila million 1
~~~Hiyo biashara una uzoefu nayo? Una vitendea kazi tayari? Fremu/chumba, mizani friji, mirija na vipimio, mshahara wa kwanza wa mfanyakazi, vibali kama leseni nk, umeme maji nk! Hapo bado mzigo wa kuanzia kazi na usafiri pia
Milioni moja kwa maisha haya ni pesa ya kufungua genge na si duka LA vyakula kwa muktadha wako