Mara nyingi wapigaji huwa ni watu wa kujiexpress mno na wana emotion za nguvu, kwa hiyo wakichukia no soo na wakifurahi ni soo na wakiwa kwenye kilimo kwanza pia huwa soo; its a "see-saw" stuff, always ecstatic!!! Lakini kiukweli kupiga ni ugonjwa na unaanzia kwenye malezi ya mtu
Nalinganisha wanaume wanaopiga wake zao na wanawake wanaowashautia wanaume zao hovyo hata mbele za watu----ITS A DISEASE THAT NEEDS TREATMENT