balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,456
- 12,575
Naona watu wenye shida ndiyo mashabiki wa CCM,shule za kata, walimu,mapolisi ,wagonga kokoto,makonda eti wanarubuniwa na kuishabikia CCM,nitawashangaaa mkiichagua tena,nitaombaa maisha yawe magumu zaidi hata mlo mmoja msiupate ili mnyookeee,maana mtakuwa hamjakoma.Mwalimu anasema eti mabadiliko yanaweza kupatikana ndani ya CCM mimi nakataaaa,ccm hakuna wa kuleta mabadlikoooo.Sasa mimi nakaa pembeni naangalia mjitoe ufahamu muichague ccm tena aisee itabidi tutafute namna nyingine maana tumechokaaa,kipigo mtakachopata mpaka uchaguzi mwingine mtalia na kusaga kucha maana meno mmesaga tayari.ndugu zangu tuwaweke pembeni hawa wakoloni weusi kazi ya kuijenga Tanzania mpya ianze sasa.someni kitabu cha,mwalimu mkuu was watu kaandika Paschal Mayenga.
Hivi ndivyo tulivyotabiri
Hivi ndivyo tulivyotabiri