jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za wakati huu poleni na majukumu na misiba tunayoipata ndugu zangu.
Naombeni ushauri wenu wa dhati ndugu zangu kuhusu ili swala la mke wangu kujiona mbaya asie na uzuri wowote hali inayompelekea kutojihamini anapokua mbele za watu na ninapotoka nae au anapokuwa mbele zangu mara zote..
Nimejaribu kila namna ya kumpendezesha kwa mavazi, urembo wa hapa na pale na kumsifia ila mambo yanagonga mwamba. Kwani nikimsifia anakataa sifa ninazompa na kunijibu yeye ni mbaya na hana uzuri wowote walionao wanawake wengine. Nimekaa nae chini na kumueleza sipendi anavyojichukulia but amekua akirudia rudia kila wakati na muda mwingine yeye tuu anajishuku na kuniuliza nilimpendea nini na yeye hana uzuri wowote.
Huu ni mwaka wa pili sasa bado anajichukukia hivyo na mimi kama mwanaume ninakasirika sana hali ya kutamani kumpa kichapo kwa jinsi anavyojichukulia na kumrudisha kwao au kumpotezea mpaka atakapo jirekebisha.
Naombeni ushauri ni mfanye nini huyu kwa kweli
Naombeni ushauri wenu wa dhati ndugu zangu kuhusu ili swala la mke wangu kujiona mbaya asie na uzuri wowote hali inayompelekea kutojihamini anapokua mbele za watu na ninapotoka nae au anapokuwa mbele zangu mara zote..
Nimejaribu kila namna ya kumpendezesha kwa mavazi, urembo wa hapa na pale na kumsifia ila mambo yanagonga mwamba. Kwani nikimsifia anakataa sifa ninazompa na kunijibu yeye ni mbaya na hana uzuri wowote walionao wanawake wengine. Nimekaa nae chini na kumueleza sipendi anavyojichukulia but amekua akirudia rudia kila wakati na muda mwingine yeye tuu anajishuku na kuniuliza nilimpendea nini na yeye hana uzuri wowote.
Huu ni mwaka wa pili sasa bado anajichukukia hivyo na mimi kama mwanaume ninakasirika sana hali ya kutamani kumpa kichapo kwa jinsi anavyojichukulia na kumrudisha kwao au kumpotezea mpaka atakapo jirekebisha.
Naombeni ushauri ni mfanye nini huyu kwa kweli