Mke wangu anasumbuliwa na U.T.I

Mke wangu anasumbuliwa na U.T.I

leodigardcyrilo

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
3,406
Reaction score
1,816
Katika kitu kinachonisumbua kwa Sasa ni huu ugonjwa wa UTI mke wangu.

Anasumbuliwa na huu ugonjwa hauponi hapa nilipo naona unantia hasara na suluhu sipati kachoma sindano, kameza dawa kafyanyiwa urine culture lakini wapi.

Msaada kwenye hili tatito
 
Katika kitu kinachonisumbua kwa Sasa ni huu ugonjwa wa UTI mke wangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hauponi hapa nilipo naona unantia hasara na suruhu sipati kachoma sindano, kameza dawa kafyanyiwa urine culture lakini wapi msaada kwenye hili tatito
Je hauchipuki?

Au mkeo?
Naona utakuwa na UTI Sugu inayoatiokana katika Uzinzi

Nenda hosptali kubwa ukiwa na mkeo utakapoanza Anza dawa kaa mbali na Ngongo hata mwaka1
 
ugonjwa wa UTI mke wangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hauponi hapa nilipo naona unantia hasara na suruhu sipati kachoma sindano, kameza dawa kafyanyiwa urine culture lakini wapi msaada kwenye hili tatito
Huu ugonjwa ni pasua kichwa, nimemsikia mfamasia mmoja akimshauri mgonjwa kuwa aende na mwenzi wake watibiwe pamoja kwa kutumia sindano ya powersafe nikashangaa UTI kutibiwa kwa sindano maana huwa nasikia antibiotics mostly
 
Huu ugonjwa ni pasua kichwa, nimemsikia mfamasia mmoja akimshauri mgonjwa kuwa aende na mwenzi wake watibiwe pamoja kwa kutumia sindano ya powersafe nikashangaa UTI kutibiwa kwa sindano maana huwa nasikia antibiotics mostly
Hiyo powercef (ceftriaxone) ni antibiotics pia.
 
Chanzo fangus, ndo inapelekea uti, cha kufanya tibu fungus kwanza uti itatoka mala moja

Yaani iko hivi, Mkeo huwa anatibiwa uti inaisha lakin inarudi tena baada kama ya wiki mbili hivi

Hii inatokama na fungus kurudia kwenye sehemu zake za siri na kupelekea uti tena kurud,
So, tibu fangus then uende ukapime hospital kama uti ipo, ndo uitibu tena
 
Huu ugonjwa ni pasua kichwa, nimemsikia mfamasia mmoja akimshauri mgonjwa kuwa aende na mwenzi wake watibiwe pamoja kwa kutumia sindano ya powersafe nikashangaa UTI kutibiwa kwa sindano maana huwa nasikia antibiotics mostly
Dah ! Hakikau TANZANIA inahitaji maombi
Elimu chanya pia
watu kama nyinyi U.T.I haiwezi kuisha kwenu
janga si ugonjwa JANGA ni wewe mgonjwa na huyo DAKTARI anaewatibu wote ni shida
Inahitajika ELIMU kuwaelewesha
 
 
Anywe maji kwa wingi, asiubane mkojo kwa muda mrefu... Kama hana pressure ya kushuka awe anapendelea kutafuna kitunguu saumu hata punje tatu anaweza kichanganya na nyaya kupunguza ukali...

Usafi pia ni muhimu sana... Apendelee kuvaa nguo za ndani za pamba.... Aepuke pombe na kahawa kwa muda.
 
Back
Top Bottom