Vaislay JF-Expert Member Jun 26, 2011 4,532 1,822 May 30, 2014 #21 Honey Faith said: Umenitaja mimi?samahani lakini kingereza ndo kinanipa wakati mgumu Click to expand... we nawe hahhahah ....:smile-big:
Honey Faith said: Umenitaja mimi?samahani lakini kingereza ndo kinanipa wakati mgumu Click to expand... we nawe hahhahah ....:smile-big:
nyamchele JF-Expert Member May 28, 2014 1,309 1,008 May 30, 2014 #22 Mimi mme wangu alinipata kwenye ndembendembe......
kigogo1ivi JF-Expert Member Jan 15, 2013 534 323 May 30, 2014 Thread starter #23 nyamchele said: Mimi mme wangu alinipata kwenye ndembendembe...... Click to expand... Naisi mnapendana sana
nyamchele said: Mimi mme wangu alinipata kwenye ndembendembe...... Click to expand... Naisi mnapendana sana
kigogo1ivi JF-Expert Member Jan 15, 2013 534 323 May 30, 2014 Thread starter #25 Ila wa bar ndio wazuri na wanafaa
kalagabaho JF-Expert Member Nov 4, 2010 5,461 5,860 May 30, 2014 #26 kigogo1ivi said: Naomba tufahamishane mke mwema hupatikana wapi. Bar, Club, Kanisani na misikitini, Mtaani, N.K Click to expand... Msikitini huwa hatutongozani kama mnavyofanya nyinyi kanisani
kigogo1ivi said: Naomba tufahamishane mke mwema hupatikana wapi. Bar, Club, Kanisani na misikitini, Mtaani, N.K Click to expand... Msikitini huwa hatutongozani kama mnavyofanya nyinyi kanisani