Mke wa mtu kuwa na Rafiki wa kiume

Tumeumbwa tofauti sana sana.
Huo urafiki ni mgumu sana sana.
Mm sijapewa uwezo wa kumvumilia mwanamke yan atalika tu hata bila kutongozwa.
 

Mkuuu ni sawa mkuuu ushauri wako umeenda shule
 
Ha ha rafiki yangu aliniambia hawezi kunipa ****, hata iweje na kweli bana baada kujaribu sana kumla kwa njia zote sijawahi kufanikiwa na baada ya kunipa ndugu yake ndio nikaamini kweli hawezi kunipa...hivyo urafiki bila kulana inategemea sana na msimamo wa mwanamke
 
Mwambie rafiki yako nae awe rafiki kwa mpenzi wake. Wanawake wanapenda wapenzi rafiki
 
Huvutii kivile ila unavutia
utamu utamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…