Mke wa mtu ana wivu wa kupindukia mpaka imekuwa kero sasa!

mtanganyika wa kweli

JF-Expert Member
Apr 12, 2015
2,420
1,721
Mke wa mtu ana wivu mpk imekuwa taabu sasa,nilikutana nae wakati ndo naingia chuo tu,alikuwa kam mshauri kwang kwakuwa kanipita sio mkubwa kihivyo bt 30+ huko,mwanzoni alikuwa anajifanya kuniasa wasichana wachuo mara sijui kuna ukimwi n blah blah kibao wakati mimi hapo nina kazi kibao(watoto wazuri),nikawa namsikiliza mwisho nammpuuzia tu,sasa kumbe nasaha zote hizo kumbe huyo mmama wa watoto wawili kanielewa!

Nikawa nachat nae watsup hapo niko chuo ananiuliza et una msichana?,nikamjibu tu sina,kam hivyk ni vizuri ujitunze sijui nin!,mara chat inazid sana akanza kuingizia sasa mapenzi unajua nimetokea kukuelewa ni mvulana ambaye mtulivu,hb,unajielewa nk ....... nikaenda nayo ikaanza kuniambia kuwa mume wake kumbe yupo chuo ninachosoma anasom masterz sema yuko bize sana,alimuoa sijui akiwa bikra na huyo jamaa ndo kamtoa,sasa hapa nadharia ile ya mtu ukimkuta mwanamke akiwa bikra unawez ukamcontrol asitoke nje nikaon haina implication yoyote!;

akapanga kuonana na mimi maeneo flan mim ndo nikamtajia sehem flan njoo,akaja kalipia pale kila menu nin akanipa mtonyo nikachukua room ,nikawa nimeikaza mpk mida flan ya usiku akawa amerud kwake huko kimara! ikawa sasa ndo shida kila muda anataka kuonana na ww muda wote uwe akituma txt ujib on spot ole wak uwe onlin halaf udelay kumjib atanuna mpak basi;sasa hap ndo kero ilipoanzia kwangu !

Sasa hii likizo niko zangu hom,kuna gal wang niko nae chuo ni bdy yake nikamuweka dp,nikaandika t happy birthday,povu likaanza kumtoka kwann unabadilisha wasichan dp n umeishia hapo t hbdy mbona hujaandika chochote mbele,kaongea weeee nikampotezea
et kwanin unanichanganya n wasichana wako wa chuo sipend unavyocheat;nikamchana bana wew mwenyew mbona unacheat na umeolewa na ndoa yako stil umechaeat mpaka nimekupa mimba hiyo now miez 4 ;na ukamchomekea huyo bwana wako,kwa mujib wake aliniambia kuwa alienda kupima kupima n akakuta kipind anapata ujazito mwamba ndio nilitia nyavuni n hii mimba ilimsumbua tofaut na zile mbili za watoto wa mme wake ndo akajua mbegu zilizoingia ni tofaut na zile za kawaida,kipimo kilimthibitishia hilo!
Nikamwmbia mwanangu ukimzaa uniletee nimuone mwanangu ila mpe huyo jamaa yako alee now mchongo sio mchongo mchongo mchongoma! bt mim natak kuomuona t huy mtoto sina shida na huy mtoto ampe t jamaa yake akiona hafanan nae jamaa akija kukataa hayo mengine!

Bt saa hiz huy mwanamke kasusa na mimi nimempotezea,huwa anakaa then anakutafuta tena akija now namkata km pandu kificho na uspika zenji!

Hiv niny wake za watu mnajua mnacheat sasa kwnn tena mnataka kucontrol wanaume(michepuko yenu);wakati sasa tunawasaidia kudumisha ndoa zenu???
 
1458994228833.jpg
Mwenzako huyo hapo
 
Mke wa mtu ana wivu mpk imekuwa taabu sasa,nilikutana nae wakati ndo naingia chuo tu,alikuwa kam mshauri kwang kwakuwa kanipita sio mkubwa kihivyo bt 30+ huko,mwanzoni alikuwa anajifanya kuniasa wasichana wachuo mara sijui kuna ukimwi n blah blah kibao wakati mimi hapo nina kazi kibao(watoto wazuri),nikawa namsikiliza mwisho nammpuuzia tu,sasa kumbe nasaha zote hizo kumbe huyo mmama wa watoto wawili kanielewa!

Nikawa nachat nae watsup hapo niko chuo ananiuliza et una msichana?,nikamjibu tu sina,kam hivyk ni vizuri ujitunze sijui nin!,mara chat inazid sana akanza kuingizia sasa mapenzi unajua nimetokea kukuelewa ni mvulana ambaye mtulivu,hb,unajielewa nk ....... nikaenda nayo ikaanza kuniambia kuwa mume wake kumbe yupo chuo ninachosoma anasom masterz sema yuko bize sana,alimuoa sijui akiwa bikra na huyo jamaa ndo kamtoa,sasa hapa nadharia ile ya mtu ukimkuta mwanamke akiwa bikra unawez ukamcontrol asitoke nje nikaon haina implication yoyote!;

akapanga kuonana na mimi maeneo flan mim ndo nikamtajia sehem flan njoo,akaja kalipia pale kila menu nin akanipa mtonyo nikachukua room ,nikawa nimeikaza mpk mida flan ya usiku akawa amerud kwake huko kimara! ikawa sasa ndo shida kila muda anataka kuonana na ww muda wote uwe akituma txt ujib on spot ole wak uwe onlin halaf udelay kumjib atanuna mpak basi;sasa hap ndo kero ilipoanzia kwangu !

Sasa hii likizo niko zangu hom,kuna gal wang niko nae chuo ni bdy yake nikamuweka dp,nikaandika t happy birthday,povu likaanza kumtoka kwann unabadilisha wasichan dp n umeishia hapo t hbdy mbona hujaandika chochote mbele,kaongea weeee nikampotezea
et kwanin unanichanganya n wasichana wako wa chuo sipend unavyocheat;nikamchana bana wew mwenyew mbona unacheat na umeolewa na ndoa yako stil umechaeat mpaka nimekupa mimba hiyo now miez 4 ;na ukamchomekea huyo bwana wako,kwa mujib wake aliniambia kuwa alienda kupima kupima n akakuta kipind anapata ujazito mwamba ndio nilitia nyavuni n hii mimba ilimsumbua tofaut na zile mbili za watoto wa mme wake ndo akajua mbegu zilizoingia ni tofaut na zile za kawaida,kipimo kilimthibitishia hilo!
Nikamwmbia mwanangu ukimzaa uniletee nimuone mwanangu ila mpe huyo jamaa yako alee now mchongo sio mchongo mchongo mchongoma! bt mim natak kuomuona t huy mtoto sina shida na huy mtoto ampe t jamaa yake akiona hafanan nae jamaa akija kukataa hayo mengine!

Bt saa hiz huy mwanamke kasusa na mimi nimempotezea,huwa anakaa then anakutafuta tena akija now namkata km pandu kificho na uspika zenji!

Hiv niny wake za watu mnajua mnacheat sasa kwnn tena mnataka kucontrol wanaume(michepuko yenu);wakati sasa tunawasaidia kudumisha ndoa zenu???
Iweke ktk audio
 
Umeongea kwa dharau maskin ulivyomfanyia sio japo kafanya kosa kutoka nje alikua anawivu coz alikupenda sana ungethamin upendo wake nawew utafanyiwa hvyo cku moja na mtu uliempenda
 
Back
Top Bottom