Mke wa kuoa

cangeofrey

Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
15
Reaction score
0
Habari wana Jf,

Mimi natafuta mke wa kuoa, awe mcha mungu, umri miaka 22 hadi 35.

Tafadhali ayetayari ani PM
 
Mh! Mke wa kuoa?!!!! Ngoja niwe makini zaidi na waifu wangu usije ukamuoa
 
Habari wana Jf,

Mimi natafuta mke wa kuoa, awe mcha mungu, umri miaka 22 hadi 35.

Tafadhali ayetayari ani PM

Maelezo ya sifa bado hayajatosheleza mkuu.
Weka maelezo kwa kina tuingie kazini watoto wa mjini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…