financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,144
- 40,726
Hamna cha ushauri mwambie wife afanye service ova😀Hebu nishauri kakitu mwaego
Hamna cha ushauri mwambie wife afanye service ova😀Hebu nishauri kakitu mwaego
😀😀 sawaaHa ha haaaaa! Worry out. Life iz zisi zisi!
Msalimie shemeji apoo!
Hahaa, mi mwenyewe toto langu litaniita Bibi bure,kama vipi tuwahi tusije fikia stage hiyo aiseeHa ha haaaaa! Waifu mwenyewe hajatokea while umri unaenda, akuje fasta nicje kuitwa Babu na my katoto!
😛Umeona eeh!
Kama vipi tulianzishe mama!
Aisee, ila najaribu kujipima pia nahisi nipo type hiyo aisee, yaani nimwambie live Baba Fulani nataka ... duh siwezii🤔Ni dada mlokole ndo alinivuruga nkasema niwashirikishe Wana wenzangu kaka wewe!
Hee yamekua hayo tena bachela mwenzangu?Tupiamo ka numerari kwa DM tujiongelee vyetu sie mabachela mwaya!
Asante kwa hili ndg Kibuyu! Sio kila siku muombaji mmoja tu!
Huwa napenda sana mwanamke anayefunguka...
wewe kweli mwisho........yaani umetoa siri zote za kambi ya jeshi...
Ina wabongo hata Ishara za kutaka hii kitu hii huwa hawazioni wanaume kuwa Mama Hadija leo mbona kavaa ka nguo kafupi halafu mbona Leo anafuraha sana
Ongea tu hako kalugha hapa hapa kwa faida ya mabachela wote😀C unajua tena Kuna kalugha ka kibachela kapo pulaiveti!?