Mkapa, Mwinyi na Magufuli mambo safi

Mkapa, Mwinyi na Magufuli mambo safi

Mlonganzila

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
99
Reaction score
26
Dkt.John Magufuli awa mwenyeji wa raisi wastaafu wawili:

Haijawahi kutokea Marais wastaafu wa awamu ya pili na tatu Mzee Ali Hassan Mwinyi na MzeeBenjamin Mkapa walipofungua na kufunga Mkutano wa mwaka wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB) jijini Dar es salaam. Mzee Mkapa alifungua mkutano tarehe 14 Mei 2015 na Mzee Mwinyi aliufunga mkutano tarehe 15 Mei 2015.


FullSizeRender.jpg
image.jpg
FullSizeRender-3.jpg
Mzee Mkapa wakati wa ufunguzi wa mkutano tarehe 14 Mei 2015

IMG-20150515-WA0010.jpg
IMG-20150515-WA0008.jpg
IMG-20150515-WA0006.jpg
IMG-20150515-WA0002.jpg
Mzee Mwinyi wakati wa kufunga mkutano tarehe 15 Mei 2015​
 

Attachments

  • IMG_1815.kkkkkkkJPG.JPG
    IMG_1815.kkkkkkkJPG.JPG
    401.6 KB · Views: 675
eti na hii nayo ni habari! sasa tujaidili nini hapa? mkapa kufungua mkutano na mwinyi kufunga?
 
Hujui siasa ww Abunuas hii ni ishara kuwa hao wanamuunga mkono bwana pombe coz rumours has it kwamba hili ndo chaguo lao.
 
Last edited by a moderator:
eti na hii nayo ni habari! sasa tujaidili nini hapa? mkapa kufungua mkutano na mwinyi kufunga?

Kipindi hiki na hasa kuelekea uchaguzi Mkuu hawa wazee hujiweka kando sana na siasa, lakini hapa naona kuna kitu! Pia ukue uweze kupambanua mambo mkuu!
 
Heri yako mkuu naona kurunzi yako inaona mbali!

Mi siyo CCM lakini huyu jamaa namkubali. Nafikiri tunataka kiongozi wa namna hii tuweze kufika hatua nyingine. Ukijaribu kuangalia tunahitaji kiongozi mwebye sifa kuu mbili: mchapa kazi na mwadilifu, combination hii ni ngumu kupatikana kwa viongozi walio wengi. Watu wengi either wanasema Lowasa kwasababu ya interest zao binafsi au wanafuata mkumbo kwakuwa watu wengine wamesema. Nina imani huyu jamaa akichukua nchi watanzania itakuwa mwisho wao wa kufanya kazi na kuishi kwa mazaoea. Namuombea mungu ampe afya na achaguliwe kugombea kuinusuru nchi yetu. Mbali na hapo mitandao mingine ya wagombea wana agenga za maslahi binafsi na wala siyo ustawi wa nchi.
 
Mi siyo CCM lakini huyu jamaa namkubali. Nafikiri tunataka kiongozi wa namna hii tuweze kufika hatua nyingine. Ukijaribu kuangalia tunahitaji kiongozi mwebye sifa kuu mbili: mchapa kazi na mwadilifu, combination hii ni ngumu kupatikana kwa viongozi walio wengi. Watu wengi either wanasema Lowasa kwasababu ya interest zao binafsi au wanafuata mkumbo kwakuwa watu wengine wamesema. Nina imani huyu jamaa akichukua nchi watanzania itakuwa mwisho wao wa kufanya kazi na kuishi kwa mazaoea. Namuombea mungu ampe afya na achaguliwe kugombea kuinusuru nchi yetu. Mbali na hapo mitandao mingine ya wagombea wana agenga za maslahi binafsi na wala siyo ustawi wa nchi.

Pamoja Mkuu hata na mimi sina makengeza katika hili watanzania ni wakati wa kuwa na utashi wa kumchagua mgombea wa kututoa hapa tulipo kwenda mbele zaidi, Magufuli is serious kutupeleka huko!
 
Magufuri ndo smart candidate pekee ambaye akisimama basis Ukwa kwa urais hawana chao asubuhi mapema make jamaa is a hardworking with vision
 
Ukiona watu wanatandika majamvi na mikeka huku kina mama wamejifunika kanga na vyombo vinatolewa nje ujue hapo kuna msiba. Ukisikia vigelegele na watu wanaruka kwa furaha hapo pana sherehe. Ukiona jogoo wa kijijini anawika ujue kunapambazuka. Mwenye macho haambiwi tazama, wala mwenye busara hafikiri mara 100. Ukiwa na njaa tafuta chakula, usipojenga taswira hapa ww hufikiri sawa wala hufai kuwa member humu JF.
Ujumbe pokeeni ila msinitusi nami najua kutusi japo sitarudisha tusi iwapo utanitusi.
 
Ukiona watu wanatandika majamvi na mikeka huku kina mama wamejifunika kanga na vyombo vinatolewa nje ujue hapo kuna msiba. Ukisikia vigelegele na watu wanaruka kwa furaha hapo pana sherehe. Ukiona jogoo wa kijijini anawika ujue kunapambazuka. Mwenye macho haambiwi tazama, wala mwenye busara hafikiri mara 100. Ukiwa na njaa tafuta chakula, usipojenga taswira hapa ww hufikiri sawa wala hufai kuwa member humu JF.
Ujumbe pokeeni ila msinitusi nami najua kutusi japo sitarudisha tusi iwapo utanitusi.

Well said!
 





Rais Wastaafu wa awamu ya Pili na Tatu Mheshimiwa Ali Mwinyi na Mh.Benjamin William Mkapa walipofungua na kufunga mkutano wa Wadau wa Sekta ya ujenzi nchini uliondaliwa na Bodi ya Wakandarasi nchini CRB ikishirikiana na Bodi ya Wahandisi ERB pamoja na Bodi ya AQRB.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom