...Labda alitaka aongelee yale aliyoyataka yeye tu, Waandishi wakamtolea nje kwamba watauliza kila kitu ikiwemo ufisadi alioufanya alipikuwa mdarakani wa wizi wa Kiwira Coal Mining, kupora nyumba za Serikali, kufanya biashara akiwa Ikulu, ufisadi wa rada, ufisadi wa IPTL na ufisadi wa EPA ambao pia ulitokea ndani ya awamu yake.