Mjue tajiri mkubwa duniani anayeishi na papa nyumbani kwake!!

Labda Slim nae ni ka Bakhresa pia. Anyway kila mtu na utaratibu wake wa maisha.
 
kumb
kumbe nae anamiliki bombadia kama bwana yule
 
Pamoja na utajiri wote, bado wanaishi kwa STRESS balaa kuliko mimi kabwela. Lakini kwa upande wangu utajiri ni mambo ya kawaida na mpito. Kama tajiri angekuwa na uwezo wa kuzuia kifo au kufufuka hapo ndo ningeamini utajiri matters alot in this world
 
Duh, jamaa nilijua ndiye ajiri mkubwa dunianai kumbe anazidiwa na tajiri wa Mexico.... Huenda huyo wa Mexico ametajirika kwa madawa ya kulevya
huwa wanachuana mara nyingine bill gate , baada ya mda engeneer carlos lakini huwa hawachezi mbali na izo number.
 
Mfadhili mkubwa wa Boko Haram na kutengeneza dhika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…