ChekoFagia
Senior Member
- Sep 20, 2025
- 115
- 339
Unajua kila nchi huwa mji wake mkuu ambao unaitambulisha nchi hiyo kwa mfano ukifika Tanzania mji mkuu ni Dodoma lakini Jiji la Kibiashara ni Dar es Salaam ni sawa tu na mataifa mengine lakini kumbuka kuna mataifa yana majina magumu sana kwa mafano watu wengi hushindwa kabisa kutofautisha kati ya mji mkuu na jiji la kibiashara katika nchi husika sasa leo nataka tufanye chemsha bongo unaweza ukataja upi mjii mkuu wa Morocco na jiji lake la biashara?.