Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,136
- 33,537
Ni kujitafakari wala sio kujipendekeza.
Vita vilianza 20’s siasa,uchumi,teknolojia
Siasa Nchi ambazo zimepitia mpaka sasa athari zake ndio zimesababishwa na siasa zipo nyingi.
Uchumi
Vita vya uchumi hata kushiriki sasa kuchangia teknolojia yaweza kuwa vikwazo sasa na sehemu ya kuwa shirika wa kuwezesha mapato.
Teknolojia
Uvumbuzi na mbinu au kishindwa kukabiliana na hilo kwenye maswala ya haya
Kwa nini UAE wa tumie kama nchi hizi kuogopa wakati ndio waislamu wengi wapo hapo.
Mawazo yangu
Shutuma nyingi zinaweza kuwa UAE ni sehemu iliyopewa baraka na mataifa makubwa na kitovu kikubwa cha biashara.kulingana kuwa sehemu iliyosalama isije kugeuzwa kama maeneo katika nchi hizi 13 kwa yaliyo tokea. Tokea 20’s
Ni mawazo mnaweza kuweka link kwa nini
Vita vilianza 20’s siasa,uchumi,teknolojia
Siasa Nchi ambazo zimepitia mpaka sasa athari zake ndio zimesababishwa na siasa zipo nyingi.
Uchumi
Vita vya uchumi hata kushiriki sasa kuchangia teknolojia yaweza kuwa vikwazo sasa na sehemu ya kuwa shirika wa kuwezesha mapato.
Teknolojia
Uvumbuzi na mbinu au kishindwa kukabiliana na hilo kwenye maswala ya haya
Kwa nini UAE wa tumie kama nchi hizi kuogopa wakati ndio waislamu wengi wapo hapo.
Mawazo yangu
Shutuma nyingi zinaweza kuwa UAE ni sehemu iliyopewa baraka na mataifa makubwa na kitovu kikubwa cha biashara.kulingana kuwa sehemu iliyosalama isije kugeuzwa kama maeneo katika nchi hizi 13 kwa yaliyo tokea. Tokea 20’s
Ni mawazo mnaweza kuweka link kwa nini