Mizigo yatupwa hovyo airport Mwanza

chaggason

Member
Apr 29, 2013
60
43
Ni jambo la kushangaza kabisa wahudumu wa mizigo airport Mwanza wanatupa mizigo ya abiria hovyo kwenye coster yao
 
Ni jambo la kushangaza kabisa wahudumu wa mizigo airport Mwanza wanatupa mizigo ya abiria hovyo kwenye coster yao
Kuna siku tulienda kupokea maiti hapo airport, mh! tulikaa saa nzima tunakasubiri kamdada kako nyumbani hadi kaje katufungulie, tulipofika tukakatania "hapa kazi tu" angalau tupunguze hasira tulizokuwa nazo.
 
Ni jambo la kushangaza kabisa wahudumu wa mizigo airport Mwanza wanatupa mizigo ya abiria hovyo kwenye coster yao
IMG_20170507_184158.jpg
 
Back
Top Bottom