Cesc Henry Sn
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 217
- 125
Habari za mida wakuu,
Najiuliza tangu juzi kumekuwa mtandao wa simu kwenye upande wa internet kuwa slow maana nna line 3 za simu tofauti na mara nyingi nakuwaga katikati ya mji so huwa natumia internet ila siku mbili hizi mitandao imekuwa slow hadi sielewi.
So najiuliza je ni hiyo central server yao sasa ndio ishaanza kufanya kazi sasa hivi kila unachotaka kipitie kwanza kwao ndio kikufikie.
Najiuliza tangu juzi kumekuwa mtandao wa simu kwenye upande wa internet kuwa slow maana nna line 3 za simu tofauti na mara nyingi nakuwaga katikati ya mji so huwa natumia internet ila siku mbili hizi mitandao imekuwa slow hadi sielewi.
So najiuliza je ni hiyo central server yao sasa ndio ishaanza kufanya kazi sasa hivi kila unachotaka kipitie kwanza kwao ndio kikufikie.
