Mitaa flani ya muscat

Ngongoseke

JF-Expert Member
Jan 1, 2012
3,203
1,462
Semeni hapo tz lini tutafikia barabara hizi?
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1355914392940.jpg
    130.6 KB · Views: 244
  • uploadfromtaptalk1355914431772.jpg
    125.6 KB · Views: 197
  • uploadfromtaptalk1355914457715.jpg
    98.7 KB · Views: 178
  • uploadfromtaptalk1355914485612.jpg
    112.1 KB · Views: 192
  • uploadfromtaptalk1355914522032.jpg
    80 KB · Views: 176

Attachments

  • uploadfromtaptalk1355918381819.jpg
    85.8 KB · Views: 75
  • uploadfromtaptalk1355918426856.jpg
    75.8 KB · Views: 79
  • uploadfromtaptalk1355918455018.jpg
    101 KB · Views: 83
  • uploadfromtaptalk1355918479974.jpg
    85.9 KB · Views: 76
  • uploadfromtaptalk1355918507985.jpg
    58.3 KB · Views: 75
Shida ni kwamba somewhere nyuma ya majengo haya mazuri, kuna mtu anakatwa kichwa kwa kosa la uzinifu ilhal aliyezini naye yupo kwenye kundi linalotazama.

Huo mji ni sawa na jeneza, ndani kuna maiti. Tumaini la maisha linasongwa na imani iliyojaa giza. Hakuna uhuru wala furaha ya maisha hususan kwa jamii ya wanawake. Uzuri wa jiji haushabihiani na tabasamu katika nyuso za maua (wanawake) wa mji.

View attachment 75806
 

Wewe kweli hijitambui,hii ni oman na sio Iran wala saudia,
 

Kila watu wana utamaduni wao na maadili yao,kwa hiyo kama wewe nchi yako haina utamaduni au imekaa na utamaduni wa kucopy waache wenye utamaduni wao waishi,hapa tunazungumzia maendeleo ya mji sio watu
 
tuna gesi natural, tuna dhahabu,tanzanite,mlima kilimanjaro na mbuga zote lakini hadi leo hatuna cha kujivunia zaidi ya ufisadi
mafuta bila uongozi thabiti na sheria imara hatufiki popote
mfauta yapo na yashapatikana fedha ziko uswizi
Inshallah nasi tukipata mafuta kama wao
 
Na we Shizukan aliyekwambia Oman wanawake wanafugwa nani? Mbona kuna manight club na wenye tabia za kujirusha wanajirusha mpaka majogoo. Usizomokezomoke tu wala hujui nchi za watu, Kwenye Gulf countries nchi iliyokuwa bora kuishi basi number 1 ni Oman, haya njoo nakukaribisha
 

Mwambie huyo akisikia nchi ya kiarabu tu akili inawaza udini tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…