.. sijaajiriwa.. na sifanyi shughuri inayoendana na fani niliyosemea ila elimu ndyo imenifungulia mrango wa shughuri ninayofanya sasa mpaka sasa naamini kila kitu hutokea kwa sababu fulani.. usiidharau elimu yako , unaambiwa elimu ni yale yaliyosalia baada ya kusahau kila kitu.. tumia kaelimu uliko bakiwa nako kanaweza kukutoa ukamake wonders umiza kichwa hauta jilaumu tena
Tafuta mistake nyingine. Kwenye elimu haujafanya mistake
Sent using
Jamii Forums mobile app