Mistakes you cant take back...

Uko sahihi
 
nafikiri hili swala la kwenda shule kukariri kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo miakaa kibaooo bila kuelimika ni ni tatizo kubwa sana kwa nchi zetu za Africa
 
Kuwekeza nguvu kwenye elimu kwa kuamini elimu ni Bora kuliko fedha

Sent using Jamii Forums mobile app
Makosa ni kuto kupata elimu sahihi ya mahitaji yako...
unawezeka kuta ww ni mkaanga chips ilitakiwa upewe elimu nzuri ya kukaanga chipsi,usafi na bishara...
huo ni mfano....
unless mniambie hamjui maana ya elimu!!!
 
R
L

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchelewa kufanya mapenzi!kisa eti nasoma kwanza!nikawakosa madem wakali waliokuwa wananipenda!na sasa nimeangukia pua!!!NAJUTA SANA MAZEE!BORA NINGEWALA TU WALE!!!VIJANA WADOGO FANYENI MAPENZI SASA USISUBIRI BADAE!!ELIMU YENYEWE YA KISANDONGA TU HII!!!!
 

upo mtaalamu wangu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…