Moja ya mambo ambayo serikali yetu ya mheshimiwa jk kufanya ni hili la kupeleka wanajeshi kuwa walizi wa raia na Mali zao baadala ya kuwa walinzi wa mipaka ya nchi haya mahusianao kati ya jeshi na wananchi hayapaswi kufumbiwa macho hata kama wamepelekwa kulinda maslahi ya viongozi wetu ... Hii hali tuliizoea kwa polisi kutumiwa na viongozi wetu kwa maslahi binafsi na sasa wameingia mkenge kwa kutumia jeshi bila kujua mathara yake baadae kwa taifa hususani nidhamu jeshini na mambo mengine mengi ,, hapa walichokiangalia zaidi viongozi wetu ni maslahi yao binafsi na sio ya taifa ... Kumpeleka mwanajeshi kulinda interest zenu huu ni kujiondlea hushima kwa wanajeshi na hatari yake ni kuwa kutokana na ukweli kuwa na wenyewe ni binadamu na ukweli wa mambo wanaujua,,,siku wakielimika??? Ni nani amulaumu mwenzake??? Mm naishauri serikali iendelee kuwatumia polisi kama ilivyozoea na sio jeshi hapa ni kujimbia kabur ww mwenyewe bila kujua,, hawa watu wamezoea kukaa porin bila interaction na watu huduma za nchi za manunuzi in short hawana hardness ya maisha kivile sasa hii ya kuwachanganya na raia ile hali wametoka uraian ni kuhatarisha amani ya nchi,,, polis huogopa kugeuka serikali kwa vile wanajua mziki wa wanajeshi,hii ya kuishi na raia siku uzalendo wa hali ngumu ya maisha ukiwaingia sijui itakuweje!! My take!.:... Serikali rudisheni mara moja hawa wanajeshi wa mtwara kwenye kambi zao husika,,,,,,, wabunge lionani hili nchi yetu,,, amani yetu tunaipenda sana...