Habari ya mjini ndio hio hio Missile inaitwa Harmshaher 5 inafika California bila wasi wasi wowote kwa hio USA asilete ujinga tena. Hio Missile Ina range ya 12,000 KM ni Intercontinental Missile. Warhead yake ni 2 ton na yenye speed of Mach 16 times faster than the speed of sound hakuna air defense yenye uwezo wakuitungua.
View: https://youtu.be/FCwgZgy2Jhc?si=1CUBByZwSHR-AoRu
Mbona umeweka picha za Marehemu?