Misingi ya kipagani katika Uislam

Kila siku unaambiwa uislamu ulikuwepo kabla ,mtume hakujenga Kaaba ila ilikuwepo ...Mtume Muhammad alikuwa ni mtume wa Mwisho ,kila kitu kilishatangulia ila yeye alikuja kukamilisha dini katika Ummah huoπŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio muabudu jiwe jeusi? .

Hata mm sasahiv naweza nikayakubali ya kila dini pamoja na ya freemasons alaf nikasema mm ndio mtume wq mwisho.
Utakubali?.

Kama utakataa. basi jua ndio mtume alichofanya.
 
Jihad imesaidia sana.
Waliogoma kuufuata Uislam waliuliwa na Kidin ilikuwa sio dhambi.

Dini ya kwanza kuwa na watu wengi ni Ukristo.
Ukisema waliyogoma kufuata hiyo dini waliuliwa ina maana kipindi hicho waislamu hawakuwa wakiishi pamoja na wasiokuwa waislamu?
 
Ukisema waliyogoma kufuata hiyo dini waliuliwa ina maana kipindi hicho waislamu hawakuwa wakiishi pamoja na wasiokuwa waislamu?
Ww babu yako alikuwa muislam?.
Afrika tulikuwa na dini zetu ila mababu zetu walishurubiwa wakakubali dini nyingne.

Hawakuweza kwenda mashariki ya mbali china, India Japan nk na ndio maana wao kule wana dini nyingne
 
Ndio muabudu jiwe jeusi? .

Hata mm sasahiv naweza nikayakubali ya kila dini pamoja na ya freemasons alaf nikasema mm ndio mtume wq mwisho.
Utakubali?.

Kama utakataa. basi jua ndio mtume alichofanya.
Jiwe jeusi umelitoa wapi? Mbona kama unaumia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hatujakosea. mohamed alikuwa mjanja mjanja.

Yaan ule muunganiko unafanya had sasahiv Muislam na akili zake anajisifia kuwa na maruhani (mapepo) wanajisifu kabisa kuwa mm nina wadudu .

Ajabu kabisa.
Na sijui kwann wadudu wanaogopa kitimoto
Hao wadudu labda watakuwa waislamu tena wa Tanzania hivyo huona kitimoto ni haramu ila wadudu wa China au Korea huko hawawezi kuogopa kitimoto.
 

The Satanic Verses
Novel by Salman Rushdie

Salman Rushdie, amenusurika kuuwawa mara sita, kwa sababu ya hiyo novel iliyochambua baadhi ya aya, baadhi ya mambo ynafanana na uzi wako

Ayatollah Khomeini, the then-leader of Iran, issued a fatwa condemning author Salman Rushdie to death for his novel The Satanic Verses, which was deemed blasphemous by many in the Muslim community.
jackwillpower we unajitafutia fatwa toka kwa Ayatollah Ali Khamenei
 
hata makanisani sijui wameruhusiwa na nani mpaka wanaenda kutolewa pale kwa maji na udongo wa kununua ili tujenge hotel!
Ndugu waislamu wanauziwa mafuta na vingine vingi vya kitapeli na kwa kweli wanawatajirisha sana matapeli
 
Mkuu umesahau kumtaja jini MAIMUNA [na wasichna wa kiislam waitwa jinahili], jini MAKATA, MZEE BABAB JINI SUBIANI!!
 
Mkuu umesahau kumtaja jini MAIMUNA [na wasichna wa kiislam waitwa jinahili], jini MAKATA, MZEE BABAB JINI SUBIANI!!
Hawa majini ni waislam. Mtume aliwaruhusu kuwa waislam.

Hapa ndio ujue sasa Uislam ni janja janja. hadi majini hauuogopi.
 
Ww babu yako alikuwa muislam?.
Afrika tulikuwa na dini zetu ila mababu zetu walishurubiwa wakakubali dini nyingne.

Hawakuweza kwenda mashariki ya mbali china, India Japan nk na ndio maana wao kule wana dini nyingne
Kwahiyo kumbe unataka tufuate imani kwa misingi ya kuangalia mababu zetu na sio kwa kujiridhisha sisi wenyewe?
 
Hakuna dini yoyote ambayo haikuathiriwa na mila ilizozikuta katika jamii
Swali la kujiuliza kabla ya Moses na Yesu watu walikuwa na dini gani? Ibraham/Abraham baba wa dini zote alikuta watu wanaishije? Kabla yake kina Nuhu na baada yake kina Lut walipewa amri na maagizo gani, kwanini?
Je walipokuja walikuta hao binadamu wa kale wapo katika mila na taratibu zipi?
Wote hao walipambana na idol worshipper na kusisitiza upekee (tauhid) kwa Mungu sawa na Muhammad alichoendeleza
Mbona hata huku kwetu Afrika kila dini ilipokuja ilibidi kwenda na mazingira yaliyopo na hata huko maeneo mengine kama Amerika Kusini au Ulaya Mashariki (Orthodox Christians) ilibidi dini iendane na mazingira husika. Ndiyo maana dini ziliendana na mila na kuleta ukombozi (Afrika), ikatumika kama sheria na kama utambulisho wa kisiasa ( Anglican Church), kama dini ya Kihistoria/insitutional (Roman Empire, Ottoman Empire), kuleta ukombozi wa kijamii/liberation theology (South America), etc.
Dini inaishi katika watu, siyo vacuum.
Inachukua na kubeba mila, lugha,desturi , historia na siasa za watu wa mahali husika
 
Kama watakuwepo wenye hizo akili za kukwepa huo unaoita mtego basi wewe sio katika hao.
Umeshindwa kujua kuwa Ukristo sio dini ndio utajua kuhusu Uislam? Hebu tumia kwanza hata mwaka kujua maana ya Ukristo na yaliyomo na kwanini una maagano zaidi ya mawili na sababu za msingi ni zipi ndio sasa uje uambiwe maana ya Uislam
 
Ndugu waislamu wanauziwa mafuta na vingine vingi vya kitapeli na kwa kweli wanawatajirisha sana matapeli View attachment 3414260View attachment 3414261
wako wengi sana zaidi ya hao , si ajabu.
Kila jamii wapo.
Kuna Pope Alexander VI 1492-1503 alijiuzulu kwa kuuza ofisi za kanisa, nepotism na kuzaa watoto wengi tu na kufanya party za orgy na wanawake. Papa John XII 955-964 aligeuza majengo ya kanisa kuwa danguro na aliuwawa na mume wa mchepuko wake, na Papa Benedict IX 1032-1-48 mzee wa totoz alibaka, kuua etc. Aliuza upapa ili aoe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…