Serikali yetu sijui kwanini issue za mishahara inakuwa ni SIRI, kwa watumishi wa umma? ama kwa ajili umma bado umelala?
inakera sana hata mshahara wa rais kuwa ni siri, kwa mawazir na wabunge ndio kabsaaaa
Serikalini wenye mamilioni ya Mshahara hata kama huna Degree ni wale wlioko kwenye Mamlaka na Wakala zinazokusanya kodi. hao mishahara yao ukiipata scale yao utakufa kwa Sroke ukilinganisha na mshahara wa mtu mwenye masters anayefanya serikali za mitaa au wizarani!
Kufanya kazi serikalini ni kujitaftia stress tu, mi nipo TGSE lakini mambo magumu nataka nichukue kiinua mgongo changu kwa mkopo nigeukie biashara zangu tu.