Nilipoona ni kazi za wahandisi nikabaki nashangaa, how come mhandisi au fundi mchundo ushindwe kuandika mada ukiwa umetulia?! soma heading alafu soma mada utaelewa nnachomaanisha!
Mishahara ya watu ni Siri, na kila idara ina viwango vyake. Hizo grade A, B, C etc zinatofautiana kada 1 na nyingine. Ila tu kukusaidia B ni km 390,000/=, A ni ndogo kidogo na C ni kubwa kidogo
Mishahara ya watu ni Siri, na kila idara ina viwango vyake. Hizo grade A, B, C etc zinatofautiana kada 1 na nyingine. Ila tu kukusaidia B ni km 390,000/=, A ni ndogo kidogo na C ni kubwa kidogo
Nilipoona ni kazi za wahandisi nikabaki nashangaa, how come mhandisi au fundi mchundo ushindwe kuandika mada ukiwa umetulia?! soma heading alafu soma mada utaelewa nnachomaanisha!
Mi nilijua umeweka mishahara ambayo watumishi wa serikali wanalipwa! Lkn kila sector ina muundo wake wa mshahara, mingine ni midogo sana aisee mf. 250000 au 300000