Naunga mkono hivi.100%
Inategemea, wakisema Mshahara utapanda kwa Kati ya asilimia 10 hadi 50,maana yake ni kwamba yule mwenye scale ya juu ataongezwa asilimia na yule mwenye scale ya chini kanisa ataongezwa asilimia 50 ili asimzidi sana mwenye scale ndogo. Mnaweza kujazia kwenye mapungufu, karibuni.
Huenda ukweli ukawa ni huu,japokua naomba Mungu isemwe ni kati ya 10% hadi 100%Inategemea, wakisema Mshahara utapanda kwa Kati ya asilimia 10 hadi 50,maana yake ni kwamba yule mwenye scale ya juu ataongezwa asilimia na yule mwenye scale ya chini kanisa ataongezwa asilimia 50 ili asimzidi sana mwenye scale ndogo. Mnaweza kujazia kwenye mapungufu, karibuni.
Wamesema kima cha chini 23%Habari,
Wazee, hivi serikali ikipandisha mishahara huwa inapanda kwa asilimia ngapi?