...Serikali imeahirisha kulipa shahili kwa wafanyakazi wake waliopanda madaraja kuanzia mwaka jana mwishoni, mpaka mwezi wa nne. Wakati huohuo, deni la taifa linapaa kama fastjet. Between now and 2015, kuna wakati salary zitakata. Wafanyakazi jiandaeni kwa yasiyotarajiwa.