chief bazoka
Member
- Jan 31, 2014
- 97
- 22
Habari wadau,heri ya mwaka mpya.anayefahamu mishahara ya swissport kwa ngazi ya air ticketing officer anifahamishe wanalipaje asanteni
NGAZI ya air ticketing
Inategemea na idadi ya ticket unazo katisha kwa siku na ticket 1 ni sh. 500.Ila ukiweza kukata ticket nyingi unakuwa Afisa mkuu wa kukata ticket na kulipwa buku 1 kwa kila ticket.
Inategemea na idadi ya ticket unazo katisha kwa siku na ticket 1 ni sh. 500.Ila ukiweza kukata ticket nyingi unakuwa Afisa mkuu wa kukata ticket na kulipwa buku 1 kwa kila ticket.
Swiisport hawana post ya hivo kwa sababu wao si kazi yao kuuza ticket za abiria wa ndege.
hata hivo mshahara wao kwa wastani ni laki tatu na ushee kama alivosema mdau alietangulia.
kupata kazi pale lazima Temu uwe nduguye shangazi mjomba binamu ,demu wake au ndugu wa stella kitali yule fupi nyundo ! bila hivo kamaanda hupati kazi au upewe memo toka serikalini wizara ya mawasiliano wanao toa leseni za ground handling !
Temu kishawaroga wazungu na kuifanya mali Swissport mali yake na kajaza nduguze shemejize mademu zake kibao.
Hata hiyo warehouse mpya inayojengwa kuna kampuni zake ndo zina supply kila kitu
Huyo Temu ndo nani mkuu?
Huyo Temu ndo nani mkuu?
Swiisport hawana post ya hivo kwa sababu wao si kazi yao kuuza ticket za abiria wa ndege.
hata hivo mshahara wao kwa wastani ni laki tatu na ushee kama alivosema mdau alietangulia.
kupata kazi pale lazima Temu uwe nduguye shangazi mjomba binamu ,demu wake au ndugu wa stella kitali yule fupi nyundo ! bila hivo kamaanda hupati kazi au upewe memo toka serikalini wizara ya mawasiliano wanao toa leseni za ground handling !
Temu kishawaroga wazungu na kuifanya mali Swissport mali yake na kajaza nduguze shemejize mademu zake kibao.
Hata hiyo warehouse mpya inayojengwa kuna kampuni zake ndo zina supply kila kitu
Hongera kwa kupata kazi
Sijapata nafukuzia
Sijapata nafukuzia
pouwa utapata tu
All the best.Ukifanikiwa kuwa Check-Inn Agent usije kuwa unakula ''Baula''.
Nilikuwa DAHACO kabla ya kubadili jina kuwa Swissport Mwaka 2003-2005.Nilikuwa Ramp Supervisor.