mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,775
- 2,198
Simu za hivi karibuni serikali ilisema imesitisha kuongeza mishahara hadi miradi mikubwa inayoendelea imalizike. Jana serikali ikasema imesitisha ujenzi wa Barbara ya njia sita itakayo Ubungo mpaka miradi mingine ikamilike. Kwa hali hii kweli wafanyakazi tuna sababu ya kutegemea kwamba IPO siku mishahara itapanda kwa awamu hii ya 5?