Hii ni misamiati mipya ya CCM ili kukwepa mkono wa sheria.
Kughushi vyeti - Kuchezea saini by Samuel Sitta.
Wezi wa pesa za umma - wajanja wachache by UVCCM Mbeya.
Kura ya waz i- kukandamiza uhuru wa watu kidemokrasia by wajumbe wa CCM katika bunge la katiba.