Although they were Wanafunzi who said that but their opinion and suggestion values to the wealth of the country, rather than keeping Ministers appointed by president as they are useless.
Kama hatujui kutenganisha masuala ya siasa na utendaji tukubali kujifunza,kuliko kuchangia vitu tusivyo vijua,aliyeleta hoja yupo sahihi,tafuta maana ya msomi na pia aliyekwambia waziri lazima awe mbunge ni nani,,pia hujui kwamba kuna mgongano wa kimihimili ya serikali kwa mbunge kuwa waziri wakati huo huo waziri kuwa mbunge?????
Kweli kila jamii hupata serikali inayo istahili kwa mtindo wa hoja kama hizi.
Very trueAlthough they were Wanafunzi who said that but their opinion and suggestion values to the wealth of the country, rather than keeping Ministers appointed by president as they are useless.