Mimi ni msichana, natafuta mchumba

I'm 30 yrs, nipo chuo still, if you don't mind let's meet...
0787 470737
 
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
All the best
 
Chama gani mimi cuf nakubalika?dini answarsuna je na kubalika?umri 36 elimu ni chuo cha kiislamu al mujidir University Misiri,kazi mwalimu wa madrasat alurumer je nitakubarika ila na wake 2 na watoto 5 karibu.
 
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Naona rubii amekuja na Id mpya.
 
28 -33 mwanaume aliyesingle hana mchumba?? jihadhari nae atakua na matatizo uyo
Hahaha...sikuwa nimeiona hii, inanihusu aisee, sa inamaanisha hatuwezi date enh? maana tiari uko na perception kwamba LAZIMA niko na mchumba.
 
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please

Mume ni mmoja na wachumba ni wengi. Utawapata wachumba wengi ila uwe tayari kugegedwa ili kumpata mume mmoja. Lakini, askari huoa bila atua ya uchumba.
 
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Ukisikia kwiyyoooo ujue kesha liwa.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…