Mimi bado mgombea kata ya mtongani

Mimi bado mgombea kata ya mtongani

Majuto Ngozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
211
Reaction score
50
Salaaaam ndugu zangu wa Mtongani,
Naandika haya ili kuwatoa wasiwasi kwakuwa nimepokea simu nyingi na pia nilikutana na watu wengi, Watu hao huwa wananiuliza kama kweli nimejitoa katika kinyang'anyilo cha Kugombea Udiwani katika Kata ya Mtongani?
Najibu kuwa hakuna kitu kama hicho mimi bado mgombea wa Udiwani Kata ya Mtongani, siwezi kujitoa kwakuwa kuna sauti moyoni mwangu ikinisihi niwatumikie watu wa Mtongani na kamwe sitorudi nyuma, hayo ni maneno ya wavuta machizi na bangi flani ambao baada kura ganja hukimbilia kwenye kahawa ili waweze kusukumia moshi wa ganja, sio hayo tu pia baada ya kulewa kilevi hicho kilicholaaniwa na Mungu pamoja na Serikali huzusha kuwa mimi huwa naenda kila asubuhi kwa mgombea wa ccm, Lakini watu hao wamesahau kuwa uchamungu na bangi na unafki ni kinyume na Mungu, naomba muwasamehe kwa kuwa wengine walishawahi kukimbia mgambo au kwa lugha ya vijana minara,
siasa mufirisi
Ahsanteni nawatakia jioni njema
 
Ukiandikq uwe unarudia kusoma kabla ya kupost
 
uandishi wako tu unakuonesha kuwa huna sifa ya kuwatumikia wananchi.
 
Salaaaam ndugu zangu wa Mtongani,
Naandika haya ili kuwatoa wasiwasi kwakuwa nimepokea simu nyingi na pia nilikutana na watu wengi, Watu hao huwa wananiuliza kama kweli nimejitoa katika kinyang'anyilo cha Kugombea Udiwani katika Kata ya Mtongani?
Najibu kuwa hakuna kitu kama hicho mimi bado mgombea wa Udiwani Kata ya Mtongani, siwezi kujitoa kwakuwa kuna sauti moyoni mwangu ikinisihi niwatumikie watu wa Mtongani na kamwe sitorudi nyuma, hayo ni maneno ya wavuta machizi na bangi flani ambao baada kura ganja hukimbilia kwenye kahawa ili waweze kusukumia moshi wa ganja, sio hayo tu pia baada ya kulewa kilevi hicho kilicholaaniwa na Mungu pamoja na Serikali huzusha kuwa mimi huwa naenda kila asubuhi kwa mgombea wa ccm, Lakini watu hao wamesahau kuwa uchamungu na bangi na unafki ni kinyume na Mungu, naomba muwasamehe kwa kuwa wengine walishawahi kukimbia mgambo au kwa lugha ya vijana minara,
siasa mufirisi
Ahsanteni nawatakia jioni njema
Aisey!
 
Salaaaam ndugu zangu wa Mtongani,
Naandika haya ili kuwatoa wasiwasi kwakuwa nimepokea simu nyingi na pia nilikutana na watu wengi, Watu hao huwa wananiuliza kama kweli nimejitoa katika kinyang'anyilo cha Kugombea Udiwani katika Kata ya Mtongani?
Najibu kuwa hakuna kitu kama hicho mimi bado mgombea wa Udiwani Kata ya Mtongani, siwezi kujitoa kwakuwa kuna sauti moyoni mwangu ikinisihi niwatumikie watu wa Mtongani na kamwe sitorudi nyuma, hayo ni maneno ya wavuta machizi na bangi flani ambao baada kura ganja hukimbilia kwenye kahawa ili waweze kusukumia moshi wa ganja, sio hayo tu pia baada ya kulewa kilevi hicho kilicholaaniwa na Mungu pamoja na Serikali huzusha kuwa mimi huwa naenda kila asubuhi kwa mgombea wa ccm, Lakini watu hao wamesahau kuwa uchamungu na bangi na unafki ni kinyume na Mungu, naomba muwasamehe kwa kuwa wengine walishawahi kukimbia mgambo au kwa lugha ya vijana minara,
siasa mufirisi
Ahsanteni nawatakia jioni njema

Doh! Bora ungesubiria MIC au kuleta audio clip kuliko uliyo ya andika! Rudi shule mkuu udiwani unahitaji elemu na huyo anae waongoza kesha chemsha kitambooo!
 
Heart-breaking indeed! Unatia aibu kwa uandishi wako huo. bora ungemwomba mtu akuandikie. Iwe imla (dictation).
 
Msameheni jamani mgombea wetu aliishia darasa la tatu tena kwa maombi ya wazazi na msalie msalie mtume.

Dah mkuu nimecheka sana!!!umenikumbusha ya Daz baba yaani maombi ya wazazi na mswalie swalie mtume ndio zilimfanya afike la nne ..
 
Back
Top Bottom