Nakumbuka zimeingia. Wanafunzi wa primary walikuwa wanavitumua saba il8kuwa kama fashion. Nlijaribu ile harufu yake ilinichefua hatari.Kuber ilikuwa kali, ugoro wa masai ukasome...π
Kuna rafiki angu wa udogoni tukiwa standard 7 kwao kulikua na duka kwa kuto kujua akachukua AKAWEKA CHINI YA ULIMI DAKIKA KADHAA AKADONDOKA CHINI KAMA MZIGO βΊοΈβΊοΈπ PUUUU.Kuber ilikuwa kali, ugoro wa masai ukasome...π
Nakumbuka Kaka Yangu alikuwa anakuja nazo home.Kuber ilikuwa kali, ugoro wa masai ukasome...π
Ilikuwa na harufu nzuri sanaMiaka ya elfu mbili kuna manzi alitest kubwia izo mambo.Alivyoweka mdomoni akameza mate ilikua ni balaa,alikua anatapika huku anaharisha.
Kainiπ πKuber ilikuwa kali, ugoro wa masai ukasome...π