Millennials, mnaikumbuka kilevi aina ya Kuber

Kuber ilikuwa kali, ugoro wa masai ukasome...πŸ˜„
Nakumbuka zimeingia. Wanafunzi wa primary walikuwa wanavitumua saba il8kuwa kama fashion. Nlijaribu ile harufu yake ilinichefua hatari.
Sema bora serikali ilivipiga marufuku. Sisi shuleni kwetu ilikuwa maarufu kwa sababu tulikuwa twasoma na wahindi wengi ambao ndiyo walikuwa wanavitumia sana.
 
Kuber ilikuwa kali, ugoro wa masai ukasome...πŸ˜„
Kuna rafiki angu wa udogoni tukiwa standard 7 kwao kulikua na duka kwa kuto kujua akachukua AKAWEKA CHINI YA ULIMI DAKIKA KADHAA AKADONDOKA CHINI KAMA MZIGO ☺️☺️😊 PUUUU.

Baba na mama na nduguze wakaenda fasta kumuokota pembeni akakutwa na hicho kipacti..akaokotwa na kupelekwa ndani akapandishwa kitandani...baada ya kuber kupungua nguvu alipo amka ALIJISIKIA AIBU/ FEDHEHA

ILA NDIO IVYO MAISHA YA UJANA KUJALIBU MAMBO MENGI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…