Nakumbuka zimeingia. Wanafunzi wa primary walikuwa wanavitumua saba il8kuwa kama fashion. Nlijaribu ile harufu yake ilinichefua hatari.
Sema bora serikali ilivipiga marufuku. Sisi shuleni kwetu ilikuwa maarufu kwa sababu tulikuwa twasoma na wahindi wengi ambao ndiyo walikuwa wanavitumia sana.
hii kitu ilikuwa unafinya kidogo, ukinusa km una kichwa cha panzi ushalewa. usikosee umeze mate....utaokotwa kesho yake. Sijui ilitengenezwa kwa kitu gani
Kuna rafiki angu wa udogoni tukiwa standard 7 kwao kulikua na duka kwa kuto kujua akachukua AKAWEKA CHINI YA ULIMI DAKIKA KADHAA AKADONDOKA CHINI KAMA MZIGO βΊοΈβΊοΈπ PUUUU.
Baba na mama na nduguze wakaenda fasta kumuokota pembeni akakutwa na hicho kipacti..akaokotwa na kupelekwa ndani akapandishwa kitandani...baada ya kuber kupungua nguvu alipo amka ALIJISIKIA AIBU/ FEDHEHA
ILA NDIO IVYO MAISHA YA UJANA KUJALIBU MAMBO MENGI ππππ