mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,165
- 8,187
HahahahaNaaaam, vijana wa makamo maarufu kama millennials, wanasifa moja tu niliyoifanyia tafiti ya kutosha .. Hiki kizazi kimejaaliwa miili migumi isio choka haraka kama cast iron..Hawa viumbe hawazeeki kifala , wanakula bia tangu nazaliwa na wanakufa katika mitungi lakini bodies zao bado zinadai..Hiki ndicho kizazi kilichobarikiwa miili imara kuliko vizazi vyote...Hawa ndio Toyota version ya binadamu.
Niko nakula bia
Mkuu millennials wanaweza kufail Figo zote na bado wakakaza, wagumu kufa 😁Hahahaha
Haaaaaaaaaah 🔥 millennials mmekumbukwaNaaaam, vijana wa makamo maarufu kama millennials, wanasifa moja tu niliyoifanyia tafiti ya kutosha .. Hiki kizazi kimejaaliwa miili migumi isio choka haraka kama cast iron..Hawa viumbe hawazeeki kifala , wanakula bia tangu nazaliwa na wanakufa katika mitungi lakini bodies zao bado zinadai..Hiki ndicho kizazi kilichobarikiwa miili imara kuliko vizazi vyote...Hawa ndio Toyota version ya binadamu.
Niko nakula bia
nakubali mkuu , Mungu na maajabu yake , gen z wengi miili inasaliti umri mapemaMimi pia ni kizazi cha milenia. I am at early forties lakini madogo wa 95 plus wananiona kama mshikaji wao. Hakuna nachochagua kwenye vinywaji na vyakula kilichopo mbele yangu twende kazi.
Hahahaha,dahMkuu millennials wanaweza kufail Figo zote na bado wakakaza, wagumu kufa 😁
Sawa sawaMimi pia ni kizazi cha milenia. I am at early forties lakini madogo wa 95 plus wananiona kama mshikaji wao. Hakuna nachochagua kwenye vinywaji na vyakula kilichopo mbele yangu twende kazi.
Na hayo macho yako mekundu kama damu, ubongo utakuwa umevurugika na ukiongeza mipombe lazima ujione kijanaMimi pia ni kizazi cha milenia. I am at early forties lakini madogo wa 95 plus wananiona kama mshikaji wao. Hakuna nachochagua kwenye vinywaji na vyakula kilichopo mbele yangu twende kazi.
Hhahaaa sio mm naejiona kijana, nikiwaambia madogio waniamkie hawataki eti wanasema nina ukubwa gani mimi.Na hayo macho yako mekundu kama damu, ubongo utakuwa umevurugika na ukiongeza mipombe lazima ujione kijana
Kizazi hiki kisahau kuhusu kufika 80 mkuu!!Unakuta mtu ni gen z ila ana kitambi, mvi na upara wakati umri wake ni mdogo chini ya miaka 40. Huyu mtu atafikisha umri wa miaka 80 kwa hali hiyo?