patrickcharles
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 534
- 285
Habari Great Thinkers,
Kama uzi unavyojieleza hapo juu, Gari ipo katika hari nzuri (inatembea). Mimi ndo mmiliki wake halali napenda kuwahakikishia kuwa haina tatizo kabisa.
Sababu ya kuiuza: nimeamua kuiuza ili niongezee mtaji kuna project ya ufugaji nataka kufanya. Hii nikutokana na PPF kuzuia michango yangu.
Picha: Zifuatazo ni picha halisi za gari langu.
Nipo Arusha mjini.
Kwa walio serious piga namba zifuatazo kwa Maelezo zaidi, 0658 455218 au 0755 455218.
Karibuni sana.
Kama uzi unavyojieleza hapo juu, Gari ipo katika hari nzuri (inatembea). Mimi ndo mmiliki wake halali napenda kuwahakikishia kuwa haina tatizo kabisa.
Sababu ya kuiuza: nimeamua kuiuza ili niongezee mtaji kuna project ya ufugaji nataka kufanya. Hii nikutokana na PPF kuzuia michango yangu.
Picha: Zifuatazo ni picha halisi za gari langu.
Nipo Arusha mjini.
Kwa walio serious piga namba zifuatazo kwa Maelezo zaidi, 0658 455218 au 0755 455218.
Karibuni sana.



