Mzee baba hiyo shule ni kongwe na ukizingatia mafundi wengi wakongwe wanaopatikana wilaya ya mpanda na walimu wengi wa miaka ya nyuma mkoa wa katavi wamepitia shule ile but mpaka umri huu cjaelewa kama niya serikali,ya CCM wilaya ya Mpanda,mtu binafsi au taasisi binafsi.