Mikutano CCM (UWT) Newala na kata zake yadoda!

Mikutano CCM (UWT) Newala na kata zake yadoda!

Gwakukaja85

Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
17
Reaction score
12
Jamani wadau hiki ndiyo kifo cha CCM Mtwara kulikokuwa kunaaminika ndiyo ngome ya chama hicho kikongwe,nimefanikiwa kuhudhuria mikutano iliyofanyika kata ya Mnyambe,Kitangari chini ya makamu m/kiti UWT Taifa watu ni kidogo wote wazee halafu hoja ni CHADEMA,ila nimefurahishwa na risala ya kata ya Mnyambe kutaka gesi ibaki Mtwara i like it!.

Nawasihi CHADEMA kama watawashwa moto wa M4C awamu pili uanzie huku cause "nyasi zimekauka zinahitaji kiberiti",mahudhurio ya leo yamenipa taswira kuwa 2015 shughuli laini kabisa kwa CHADEMA huku kusini.
 
Jamani wadau hiki ndiyo kifo cha CCM mtwara kulikokuwa kunaaminika ndiyo ngome ya chama hicho kikongwe,nimefanikiwa kuhudhuria mikutano iliyofanyika kata ya mnyambe,kitangari chini ya makamu m/kiti UWT Taifa watu ni kidogo wote wazee halafu hoja ni CHADEMA,ila nimefurahishwa na risala ya kata ya mnyambe kutaka gesi ibaki mtwara i like it!
Nawasihi CHADEMA kama watawashwa moto wa M4C awamu pili uanzie huku cause "nyasi zimekauka zinahitaji kiberiti",mahudhurio ya leo yamenipa taswira kuwa 2015 shughuli laini kabisa kwa Chadema huku kusini
Itakuwa vizuri chadema mkija kuanzia huku kwa sababu ccm bado inakubalika na hasa mwenyekiti;hebu ona hapa;


 
Itakuwa vizuri chadema mkija kuanzia huku kwa sababu ccm bado inakubalika na hasa mwenyekiti;hebu ona hapa;



mchezo wenu wa uchakachuzi hamuachi? hapo si ni igunga juzi kati vasco alikuwa anahutubia? angalia bendera ya raisi pale mbele.
 
Itakuwa vizuri chadema mkija kuanzia huku kwa sababu ccm bado inakubalika na hasa mwenyekiti;hebu ona hapa;



Ila hapa mkutano huu upo KITAIFA zaidi, ndiyo maana unaiona BENDERA ya TAIFA na ya RAIS. Hivyo hapo watu wa vyama vyote na wasio washabiki wa chama chochote wamekuja kumshangaa JK (V. Dagama).
 
God's word for CHADEMA,'I am with thee until the end of the age,do not fear them because I've set them in your feet'
 
Jamani wadau hiki ndiyo kifo cha CCM mtwara kulikokuwa kunaaminika ndiyo ngome ya chama hicho kikongwe,nimefanikiwa kuhudhuria mikutano iliyofanyika kata ya mnyambe,kitangari chini ya makamu m/kiti UWT Taifa watu ni kidogo wote wazee halafu hoja ni CHADEMA,ila nimefurahishwa na risala ya kata ya mnyambe kutaka gesi ibaki mtwara i like it!
Nawasihi CHADEMA kama watawashwa moto wa M4C awamu pili uanzie huku cause "nyasi zimekauka zinahitaji kiberiti",mahudhurio ya leo yamenipa taswira kuwa 2015 shughuli laini kabisa kwa Chadema huku kusini

habari ya kugomea usafirishaji wa gesi kutoka Mtwara,itapunguza sana mahudhurio .!!!!!!
 
Ccm wana wakati mgumu inamaana sasa watakuwa wamebaki na Tanga peke yake, nako washukuru Cuf imelegea cku iz vinginevyo!
 
Jamani wadau hiki ndiyo kifo cha CCM Mtwara kulikokuwa kunaaminika ndiyo ngome ya chama hicho kikongwe,nimefanikiwa kuhudhuria mikutano iliyofanyika kata ya Mnyambe,Kitangari chini ya makamu m/kiti UWT Taifa watu ni kidogo wote wazee halafu hoja ni CHADEMA,ila nimefurahishwa na risala ya kata ya Mnyambe kutaka gesi ibaki Mtwara i like it!.

Nawasihi CHADEMA kama watawashwa moto wa M4C awamu pili uanzie huku cause "nyasi zimekauka zinahitaji kiberiti",mahudhurio ya leo yamenipa taswira kuwa 2015 shughuli laini kabisa kwa CHADEMA huku kusini.
hakuna sehemu ambayo hawa jama watapata shida kama Mtwara katika uchaguzi ujao hoja ya Prof. imewamaliza kabisa ni bora angenyamaza kabisa kuliko kauli aliyo itoa kuwa gesi si yao

Prof. alishindwa kubaini madai ya wanainchi ayatolee majibu yeye alijikita kuwa gesi ya watu wa Mtwara mjini na Mtwara kwa ujumla .

mchimba kaburi hujimbia mwenyewe huu usemi sina hakika kama wa kweli

Asante !!
 
Ila hapa mkutano huu upo KITAIFA zaidi, ndiyo maana unaiona BENDERA ya TAIFA na ya RAIS. Hivyo hapo watu wa vyama vyote na wasio washabiki wa chama chochote wamekuja kumshangaa JK (V. Dagama).
unadhani wanamshangaa kwa nini?
 
mchezo wenu wa uchakachuzi hamuachi? hapo si ni igunga juzi kati vasco alikuwa anahutubia? angalia bendera ya raisi pale mbele.
sasa kwani aliesema huu sio mkutano wa rais ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm ni nani?
 
Jamani wadau hiki ndiyo kifo cha CCM Mtwara kulikokuwa kunaaminika ndiyo ngome ya chama hicho kikongwe,nimefanikiwa kuhudhuria mikutano iliyofanyika kata ya Mnyambe,Kitangari chini ya makamu m/kiti UWT Taifa watu ni kidogo wote wazee halafu hoja ni CHADEMA,ila nimefurahishwa na risala ya kata ya Mnyambe kutaka gesi ibaki Mtwara i like it!.

Nawasihi CHADEMA kama watawashwa moto wa M4C awamu pili uanzie huku cause "nyasi zimekauka zinahitaji kiberiti",mahudhurio ya leo yamenipa taswira kuwa 2015 shughuli laini kabisa kwa CHADEMA huku kusini.

Ni kweli kabisa mkuu, M4C ijayo yapaswa kuanzia huko ili kuendelea kuwaelimisha na kuwahamasisha ndugu zangu huko wamtambue adui wao na kuzidi kumwepuka.
Kuendele akuishabikia CCM, pande za huko ni kuzidi kukumbatia jiko la mkaa lenye moto.CCM na serikali yake wamewasahau kabisa wananchi wa huko ;tena hawana hata mpango wa kuwakwamua kimaendeleo na kiuchumi,mfano wazi ni suala la rasilimali za huko jinsi wanavyozitolea macho na kutaka zihamishwe ili ndugu zetu huko muendelee kuwa mafukara.

Chonde chonde CHADEMA, msiisahau kusini kwenye vuguvugu la mabadiliko awamu ya pili!
 
Pale Mnyambe mbali ya kuisema Chadema hoja kuu ilikuwa ni Adam Sijaona aka Sijali ambae alivua gamba rasmi 1/06/2012 na kukabidhiwa kadi ya Chadema na Dr.Slaa. aliitwa kibaraka,msaliti na pale ilibainika kwamba Ccm ndio wakabila na wa-kanda.
 
Nilikuwepo pale siku hio.kweli inashangaza kuona uongozi wa kitaifa kufika pale kwa madhumuni ya kumchafua Adam Sijaona. Walimuita kila aina ya jina lakini pia walijionyesha wazi kuwa wao ndio hasa wakabila.aibu
 
Pale Mnyambe mbali ya kuisema Chadema hoja kuu ilikuwa ni Adam Sijaona aka Sijali ambae alivua gamba rasmi 1/06/2012 na kukabidhiwa kadi ya Chadema na Dr.Slaa. aliitwa kibaraka,msaliti na pale ilibainika kwamba Ccm ndio wakabila na wa-kanda.
Uko anakuja Lema 'uoga ndio dhambi kubwa kuliko zote duniani'
 
Back
Top Bottom