Mikopo ya elimu ya juu na changamoto zake

Mikopo ya elimu ya juu na changamoto zake

Mwakapesa II

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2015
Posts
567
Reaction score
925
Habari za wakati huu ndugu zangu! Natumaini mnaendelea vizuri na majukumu ya hapa na pale katika kufanikisha malengo mbali mbali katika maisha

Kama kichwa cha habari kinavyosema

Kutokana na kufanya application kadhaa na uzoefu nilio nao katika kufanya application Mimi pamoja na wadau wengine wa elimu wanao fahamu mienendo ya kufanya application za mikopo elimu ya juu ningependa / tungependa kusaidiana katika hili.

Mimi kama mmoja wa wadau wa elimu ningependa kutoa mda/kipindi hiki kwa wadau wote wanao hitaji kufanya application za mikopo kwa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2018/2019
Kutokana na kuwepo kwa changamoto nyingi katika kufanya application mimi kama mdau wa elimu ningependa kushirikiana na wadau wa elimu wenzangu katika kutatua changamoto hizi za hapa na pale

hivyo ukiwa kama ni MTU unae tarajia au unafanya application kwa wakati huu na umekumbana na changamoto zozote usisite kuuliza swali lolote kuhusu kufanya application application na vipengele vyote vinavyohusu application za mkopo elimu ya juu


Pia kama kutakuwa na uhitaji wa usaidizi wa ana kwa ana pia napatikana nipo dar es salaam (chuo kikuu cha dar es salaam) weekend (kuanzia ijuumaa SAA 4 asbh hadi jumapili usiku mahali popote na wakati wowote naweza fika kwa msaada zaidi)

Nakaribisha maswali kuhusiana na kufanya application za mikopo elimu ya juu.

NAKARIBISHA MASWALI KUHUSIANA NA APLICATION ZA MIKOPO ELIMU YA JUU
 
maada nzuri hii kionzi hata mimi hiyo kazi nafanya tatizo kipindi hiki wanahitaji ufanye attachment ya
document muhimu kwanza kabla hata ya kuiprint form yenyewe, je zile document zihakikiwe kwanza ndio ziunganishwe kwenye fomu
 
maada nzuri hii kionzi hata mimi hiyo kazi nafanya tatizo kipindi hiki wanahitaji ufanye attachment ya
document muhimu kwanza kabla hata ya kuiprint form yenyewe, je zile document zihakikiwe kwanza ndio ziunganishwe kwenye fomu
jambo zuri kiongozi unapo Fanya application kwenye kufanya attachment itahitajika ufanye scanining ya cheti halisia(pdf) au ufanye attachment ya picha ya cheti halisia kwenye vibox wamesema inaweza kuwa (pdf,jpg n.k) nadhani nimejibu
 
Habari za wakati huu ndugu zangu! Natumaini mnaendelea vizuri na majukumu ya hapa na pale katika kufanikisha malengo mbali mbali katika maisha

Kama kichwa cha habari kinavyosema

Kutokana na kufanya application kadhaa na uzoefu nilio nao katika kufanya application Mimi pamoja na wadau wengine wa elimu wanao fahamu mienendo ya kufanya application za mikopo elimu ya juu ningependa / tungependa kusaidiana katika hili.

Mimi kama mmoja wa wadau wa elimu ningependa kutoa mda/kipindi hiki kwa wadau wote wanao hitaji kufanya application za mikopo kwa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2018/2019
Kutokana na kuwepo kwa changamoto nyingi katika kufanya application mimi kama mdau wa elimu ningependa kushirikiana na wadau wa elimu wenzangu katika kutatua changamoto hizi za hapa na pale

hivyo ukiwa kama ni MTU unae tarajia au unafanya application kwa wakati huu na umekumbana na changamoto zozote usisite kuuliza swali lolote kuhusu kufanya application application na vipengele vyote vinavyohusu application za mkopo elimu ya juu


Pia kama kutakuwa na uhitaji wa usaidizi wa ana kwa ana pia napatikana nipo dar es salaam (chuo kikuu cha dar es salaam) weekend (kuanzia ijuumaa SAA 4 asbh hadi jumapili usiku mahali popote na wakati wowote naweza fika kwa msaada zaidi)

Nakaribisha maswali kuhusiana na kufanya application za mikopo elimu ya juu.

NAKARIBISHA MASWALI KUHUSIANA NA APLICATION ZA MIKOPO ELIMU YA JUU
Good idea
 
maada nzuri hii kionzi hata mimi hiyo kazi nafanya tatizo kipindi hiki wanahitaji ufanye attachment ya
document muhimu kwanza kabla hata ya kuiprint form yenyewe, je zile document zihakikiwe kwanza ndio ziunganishwe kwenye fomu
then baada ya kuprint ndio utatakiwa Uambatanishe na nakala ya vyeti halisia vilivyo hakikiwa
 
Samahanini wakuu hivi fomu ya mikopo shilingi ngapi
 
Habar, nilikua nauliza kama ukiwa unafanya attachment ya kitambulisho cha mdhamini je unaweka kitambulisho chenyewe au kopi yake, na je inabidi kiwe verified na hakimu au Wakili?
 
Habar, nilikua nauliza kama ukiwa unafanya attachment ya kitambulisho cha mdhamini je unaweka kitambulisho chenyewe au kopi yake, na je inabidi kiwe verified na hakimu au Wakili?
kitambulisho unacho takiwa kuweka kabla ya kuprint fomu yako ni kitambulisho halisia (unaweza kupiga picha). ila baada ya kuprint fomu utatakiwa uambatanishe nakala ya kitambulisho hicho kikiwa kime hakikiwa tayari
 
kitambulisho unacho takiwa kuweka kabla ya kuprint fomu yako ni kitambulisho halisia (unaweza kupiga picha). ila baada ya kuprint fomu utatakiwa uambatanishe nakala ya kitambulisho hicho kikiwa kime hakikiwa tayari
Shukrani sana kiongozi
 
Habari za wakati huu ndugu zangu! Natumaini mnaendelea vizuri na majukumu ya hapa na pale katika kufanikisha malengo mbali mbali katika maisha

Kama kichwa cha habari kinavyosema

Kutokana na kufanya application kadhaa na uzoefu nilio nao katika kufanya application Mimi pamoja na wadau wengine wa elimu wanao fahamu mienendo ya kufanya application za mikopo elimu ya juu ningependa / tungependa kusaidiana katika hili.

Mimi kama mmoja wa wadau wa elimu ningependa kutoa mda/kipindi hiki kwa wadau wote wanao hitaji kufanya application za mikopo kwa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2018/2019
Kutokana na kuwepo kwa changamoto nyingi katika kufanya application mimi kama mdau wa elimu ningependa kushirikiana na wadau wa elimu wenzangu katika kutatua changamoto hizi za hapa na pale

hivyo ukiwa kama ni MTU unae tarajia au unafanya application kwa wakati huu na umekumbana na changamoto zozote usisite kuuliza swali lolote kuhusu kufanya application application na vipengele vyote vinavyohusu application za mkopo elimu ya juu


Pia kama kutakuwa na uhitaji wa usaidizi wa ana kwa ana pia napatikana nipo dar es salaam (chuo kikuu cha dar es salaam) weekend (kuanzia ijuumaa SAA 4 asbh hadi jumapili usiku mahali popote na wakati wowote naweza fika kwa msaada zaidi)

Nakaribisha maswali kuhusiana na kufanya application za mikopo elimu ya juu.

NAKARIBISHA MASWALI KUHUSIANA NA APLICATION ZA MIKOPO ELIMU YA JUU
MMm! Pasua kichwa ! Nimejaribu kuwasiliana na Bodi , huduma kwa wateja, wanasema kinachotakiwa ni copy iliyodhibitishwa which is which.....piga huduma kwa wateja usikie wasemacho.
 
kitambulisho unacho takiwa kuweka kabla ya kuprint fomu yako ni kitambulisho halisia (unaweza kupiga picha). ila baada ya kuprint fomu utatakiwa uambatanishe nakala ya kitambulisho hicho kikiwa kime hakikiwa tayari
Acha kudanganya watu ww hakuna hizo habari za vyeti original wala vitambulisho ambavyo havija hakikiwa, bodi wenyewe wanasema uhakiki copy za vyeti na vitambulisho alafu wewe unawapotosha watu eti waeke vyeti ambavyo havijahakikiwa kwanza , umetumwa nn. rejea muongozo alafu na uulize ndo uandike uzi wako
 
Acha kudanganya watu ww hakuna hizo habari za vyeti original wala vitambulisho ambavyo havija hakikiwa, bodi wenyewe wanasema uhakiki copy za vyeti na vitambulisho alafu wewe unawapotosha watu eti waeke vyeti ambavyo havijahakikiwa kwanza , umetumwa nn. rejea muongozo alafu na uulize ndo uandike uzi wako
Mkuu nilikua nauliza je attachment zinakua kwenye PDF?
 
wadau kwenye kuapply kwenye mtandao inapifika kuweka password inanigomea kila nikiandika na kutoa rangi nyekundu. nifanyeje?
 
Back
Top Bottom