Mikasa/vituko vya lodge

Kilichofuata ... Endelea sasa tumetega masikio

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu na watuu

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Ukipata location uni inbox tasavali

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kilichofuata ... Endelea sasa tumetega masikio

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Ilibidi nimuulize ananidai kiasi gani Kwa kunifulia nguo akanitajia nikampa.Sukuuliza kwanini amenifulia bila Mimi kumtuma(nilifinika kombe mwanaharamu apite)

Kesho yake nikahamia Lodge nyingine ipo maeneo ya Majengo Kahama karibu na mnadani inaitwa Twiga.
Hapo ukauzu nilweka pembeni, kulikua na wahudumu warembo, nikaangukia kwenye mpenzi mazito na binti mmoja kutoka Sengerema, ilikua ni 🔥.
NB:
Ukikaa Lodge muda mrefu, Wahudumu hua hawahangaiki kukalili majina, wanatuita Kwa namba za chumba. Utasikia yule kaka 106 ni mpole.

Kilichofuata ... Endelea sasa tumetega masikio

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Nipe location kesho niende nikalale hapo
 

Y'all some brave mfs. Sasa hayo mashetani yangekata joystick ungefanyaje? Hukuhofia wanaweza hamia kwako?
 
Sio mkurugenzi huyo
.hakuna mkurugenzi anayelipwa chini ya milioni 5 kwenye nchi hii.hata iwe kampuni ya muhindi
My friend, mkurugenzi ni position ambayo mshahara unategemea ukubwa wa hiyo kampun au taasisi.

Unaweza ukaanzisha kampuni yako wewe leo na tukakuita mkuirugenzi, kutokana na stage ya kampuni unaweza usiwe unajilipa hata posho tu ukitegemea ikue kitu ambacho ni uncertainty.
 
Mkuu hukumaliza mchezo ?
 
Aliagizwa na meneja aje akupoozeshe ili wasipoteze mteja ,,,, lilikuwa tego
 
Hata blowjob bro hukutaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…