View attachment 64172
Majina yao ni
Corporal Yusuf Said
Private Anthony Danielf
Staff Sergeant Julius Chacha.
mmeonyesha uzalendo wa kweli kutetea waafrika wenzetu sudan,
President Jakaya Kikwete ametuma salamu wa rambirambi kwa mkuu wa majeshi General Davis Mwamunyange kutokana na vifo Lieutenant Colonel (rtd) Adam Hussein Mwandu Makwaia (62)
Bora wangekufa polisi wote Tanzania kuliko hao wanajeshi watatu.MUNGU AWAPUMZISHE.
Bora wangekufa polisi wote Tanzania kuliko hao wanajeshi watatu.MUNGU AWAPUMZISHE.
View attachment 64172
Majina yao ni
Corporal Yusuf Said
Private Anthony Danielf
Sergeant Julius Chacha.
mmeonyesha uzalendo wa kweli kutetea waafrika wenzetu sudan,
President Jakaya Kikwete ametuma salamu wa rambirambi kwa mkuu wa majeshi General Davis Mwamunyange kutokana na vifo Lieutenant Colonel (rtd) Adam Hussein Mwandu Makwaia (62)
hela zao nazo zimekuja au zimeenda uswizi!?
Pumzikeni kwa amani wanajeshi.
mashujaa kwao walio watuma ila kwetu walalahoi tunawaona vidampa tuu. Kiherehere chao njaa na kutumiwa ndio kuliko waponza . Inakuwaje waonekane mashujaa kwa kulinda amani na mali za mataifa mangine na huku hapa kwetu tz maliasili zetu watu wanazitenda watakavyo??? Hao labda ni mashujaa wa viherehere
Bora wangekufa polisi wote Tanzania kuliko hao wanajeshi watatu.MUNGU AWAPUMZISHE.
hawa siwezi kuwaita mashujaa.. wanajeshi gani hawawezi kuogelea? Mimi nadhani hawa ni mgambo waliopewa mchongo wa kwenda huko sudan