Huko Tanga si tumeambiwa kuwa wachina wamejenga kiwanda Cha kuongeza thamani muhogo? Kwanini usitafute hao wachina uwauzie mkuu?
Au wachina wamejenga kiwanda Cha kuchakata 'Muhogo' tofauti na hii miogo mingine au????
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us