Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kuunganishwa

idoyo

JF-Expert Member
Jan 13, 2013
3,051
1,415
Kilio cha muda mrefu kuhusu sekta ya hifadhi ya jamii huenda kikapatiwa ufumbuzi kwa kile serikali inachoamini kitakuwa suluhu, kuunganisha mifuko!

Serikali kupitia SSRA imesema miongozo inaandaliwa kuona namna sahihi ya kuunganisha mifuko hiyo.

SSRA imekaririwa na Daily News kuwa PPF na NSSF itakuwa mfuko mmoja wa sekta binafsi, na GEPF, PSPF na LAPF kuwa mfuko mmoja wa sekta ya umma!
 

Attachments

  • WP_20160204_007.jpg
    WP_20160204_007.jpg
    225.5 KB · Views: 83
idoyo
Bora iwe hivyo kwani hii mifuko inafuja sana mapesa
Mfanyakazi wa ngazi ya chini kabisa anakopeshwa 70m
na anaambiwa akajenge nyumba mbili
wanaofuata mpaka 500m
bosi ndio kabisa 1bn
anayebisha aje hapa Dom aone Hotel binafsi ya Boss anayojenga karibu na NHC za Mchecu au kupita Morena ya Shabiby
kweli Magufuli anza na hawa LAPF
 
idoyo
Bora iwe hivyo kwani hii mifuko inafuja sana mapesa
Mfanyakazi wa ngazi ya chini kabisa anakopeshwa 70m
na anaambiwa akajenge nyumba mbili
wanaofuata mpaka 500m
bosi nsio kabisa 1bn
anayebisha aje hapa Dom aone Hotel binafsi ya Boss anayojenga karibu na NHC za Mchecu au kupita Morena ya Shabiby
kweli Magufuli anza na hawa LAPF
70M kwa officer!!! duh!
 
Back
Top Bottom