Miezi ane wamekaa bila busu wala nini kitanda kimoja

Miezi ane wamekaa bila busu wala nini kitanda kimoja

CTORY

New Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Jamani dunia hii mbaya. Kuna rafiki yangu kanieomba ushauri kuwa sasa ni miezi nane yeye na mumewe wanalala kitanda kimoja hamna kitu. Wanasalimiana tu asubuhi halafu kila mmoja anaanza. Jamaa kakauka na mama naye anamwangalia tu haya ni baadhi ya matukio na Bibie kasema amechoka kabisa na mambo ya mumewe huyo kwani kila wakati ana hasira
- akiuliza kitu tena kwa kutegeshea akijibiwa anaaza kufoka
- kuna siku wako katikati ya mechi jamaa akamwambia mkewesi ukatazame wenzio wanavyofanya kwenye sinema?
- Mara hivi wewe mwanamke ulizaliwa siku gani
- Mara yaani ajuta kukuoa
Yote hayo anafanya na mama akitaka kondoka jamaa anakosa amani.
Huyo dadasasa amejiamulia kukaa kimya na mambo yake ukiwaon uwote utadhani wana amani lakin kwa kweli wanawawanaficha mengi ndan ya nyumba zao.
Jamaa na kazi yae nzui hata aa halipi za watoto lakini misifa kibaona pengin litasoma humu lijione.
 
Mkuu unatumia simu gani? Hiyo keybord yako herufi nyengine hamna?
 
Wote wana mipango ya kando hao wasikuumize kichwa!!!!!
 
Mwandiko wako ni mgumu kuusoma.....afu punguza hasira
 
huyo baba kashapata mpango wa kando
dada apige kimya hivyo hivyo,aone mwisho wake!!
 
Mtoa mada pole sana maana yaonyesha wewe ndiyo mwenye tatizo, kutokana na jazba uliyonayo hadi kushindwa kuandika vizuri.
 
Kama sio yy yanakuhusu basi huyo alokuhadithia kapata mwanamke nje na anapewa mambo ya kune sinemaa ndo mana anamwambia mkewe akaangalie ya huko apate ujuzi,hayajamkutaa akipata gonjwa hatari atakaaa nyumbani atatuliaa na kumuona mkewe MUNGU wa pili.
 
Back
Top Bottom